Friday 24 November 2017

Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wapewa Magari



 Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wamekabidhiwa magari yao.

Wachezaji hao wamepewa magari kutoka kwa mdhamini wao Audi ambaye kila mwaka hutoa magari kwa wachezaji wa klabu hiyo.

Wakati wanakabidhiwa magari hayo kila mtu akikabidhiwa lake, Madrid walikuwa bado wanasherekea ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Apoel katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.







No comments:

Post a Comment