Saturday 25 November 2017

Zimbabwe: Morgan Tsvangirai aomba Mugabe kusamehewa



Kiongozi wa chama cha ZANU-PF Lovemore Matuke amesema kuwa hakushiriki katika harakati za kumuondoa Mugabe madarakani.

Kwa mujibu wa habari,Matuke amesema kuwa Mugabe na familia wako salama na daima atakumbukwa kama shujaa.

Wakati huohuo kiongozi wa upinzani Morgan Tsvangirai amewataka wananchi wamsamehe Mugabe.

Morgan Tsvangirai amesema kuwa ni vyema Mugabe akasamehewa na taifa kwani si taifa halijengwi kwa kulipiza visasi.

No comments:

Post a Comment