Sunday 15 October 2017

Trump hana uwezo wa kufuta mkataba wa nyuklia na Iran - Mogherini

Muakilishi wa Umoja wa Ulaya wa mambo ya njee Federica Mogherini asema kuwa rais Trump hana uwezo wa kufıuta mkataba wa nyuklia uliosainiwa bain aya Marekani na Iran
Federica Mogherini akiwakilisha Umoja wa Ulaya asema kuwa msimamo wa rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mkataba wa nyuklia uliosaini na Iran amesema kuwa rais wa Marekani hana uwezo wa kufut mkataba huo.
Mogherini aliyazungumza hayo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mjini Brussels nchini Ubelgiji kunakopatikana ofisi za Umoja huo.
Umoja wa Ulaya umepinga msimamo wa Donald Trump kuhusu mkataba wa nyuklia.
Mogherini aliendelea kusema kuwa mkataba huo hauhusu taifa moja pekee kufuta mkataba huo.

No comments:

Post a Comment