
Moto umeripotiwa kuteketeza jumba moja Pekin na kusababisha vifo vya watu 19.
Kwa mujibu wa habari,moto huo umetokea katika mji mkuu wa Pekin na kupelekea watu wengine nane kujeruhiwa.
Polisi wamekamata wale wote walioshtukiwa kuhusika na moto huo.
Majeruhi wamefikishwa hospitali haraka iwezekanavyo.
Uchunguzi zaidi wa chanzo hasa cha moto huo unafanyika.
No comments:
Post a Comment