Wednesday 29 November 2017

Rais Macron awataka waafrika kupambana na ugaidi




Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amewataka wananchi barani Afrika kupambana na ugaidi.

Kwa mujibu wa habari,Macron ameyazungumza hayo wakati akihutubia wanafunzi katika mji mkuu wa Ougadougu, Burkina Faso.

Rais Macron amesema kuwa ni dhahiri Burkina Faso na Ufaransa zimeandamwa na ugaidi na hivyo ni vyema kupambana.

Macron vilevile ameimsifu rais wa zamani Francois Hollande kwa kutuma jesho mali mnamo mwaka 2013 kupambana na wapiganaji mkoani Sahel.

Katika hotuba yake Macron amesema pia bara la Afrika linasumbuliwa na mizozo ya kisiasa na ni wazi kuwa hatotoa funzo ya jinsi uchaguzi unapaswa kufanyika.Hilo ni jambo kila mtu anapashwa kufahamu.

No comments:

Post a Comment