Thursday 30 November 2017

Israel inatarajia kufungua ubalozi wake nchini Rwanda



Waziri mkuu wa Isreal katika hafla ya kutawazwa Uhuru Kenyatta kuwa rais wa Kenya  alifahamisha kuwa Israel inatarji kufungua ubalozi wake nchini Rwanda.

Taarifa hiyo kuhusu kufunguliwa kwa ubalozi wa Israel nchini Rwanda  inaonesha kuwa  ushirikiano bain aya Rwanda na Israel unazidi kuimarika.

Katika mazungumzo yake na viongozi wa bara la Afrika, Netanyahu a alizungumza pia na rais  Paul Kagame.

Netanyahu amesema kuwa  Paul Kagame  ni mhandisi  katika kuboresha ushirkiano bain aya Israel na bara l a Afrika.

Rwanda ni taifa mshirika wa Israel.

Ikumbukwe kuwa Rwanda  haikuonesha msimamo wake  baraza la usalama la Umoja wa mataifa lilipo omba kura ipigwe kuitaka Israel  kusitisha kukalia kimabavu ardhi ya wapalestina.

No comments:

Post a Comment