Friday 1 December 2017

VIDEO: CUF ya Lipumba yatoa tamko


Mkurugenzi wa mipango na uchaguzi wa chama cha wananchi (cuf) Jafari Mneke amesema kuwa mwaka 2015 vyama vya upinzani viliunganisha nguvu zao pamoja ili kufikia lengo la kuitoa CCM madarakani lakini mpango huo ulivurugwa na Chadema.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment