Sunday 29 October 2017

Helikopta ya Urusi iliyopotea yapa

Helikopta ya Urusi iliyopotea yapa                             

Mabaki ya helikopta ya Urusi iliyokuwa imepotea Svalbard nchini Norway yamepatikana.

Kwa mujibu wa habari,helikopta hiyo imekuwa ikitafutwa toka 26 mwezi Oktoba.

Helikopta hiyo imepatikana ufukweni.

Raia wa Urusi nane,watano wakiwa ni wafanyakazi wa helikopta hio huku watatu wakiwa ni abiria wa kawaida wanakisiwa kuwa wamefariki tayari.

Uchunguzi zaidi unaendelea

No comments:

Post a Comment