Monday 16 October 2017

Diamond Afunguka kuhusu pochi ya Zari

Baada ya Zari kuonekana kwenye uzinduzi wa duka la vifaa vya nyumbani na Ofisini Danube Mlimani City baadhi ya mitandao na watu walianza kusema kwamba amebeba pochi ya bei rahisi, hilo limemfikia mpaka Diamond na akaamua kusema yafuatayo.
Diamond amezima taarifa hizo kwa kusema pochi hiyo alimnunulia Zari shilingi milioni 5 za Kitanzania hivyo haitakiwi kushushwa thamani.

No comments:

Post a Comment