Sunday 15 October 2017

NEWS : Watu 10 wamefariki katika Ajari ya moto Saudi Arabia,,,,,,,

Moto umeripotiwa kuwaka katika warsha ya useremala mjini Riyadh nchini Saudi Arabia.
Kwa mujibu wa habari,moto huo umesababisha vifo vya watu 10 huku wengine watatu wakiwa wamejeruhiwa vibaya.
Sababu ya moto haijajulikana mpaka sasa.

No comments:

Post a Comment