Saturday 20 January 2018

VIDEO: CHADEMA Watoa Kauli Nzito Uchaguzi Kinondoni


Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalimu amefanikiwa kurudisha fomu ya kugombea Ubunge jimbo la Kinondoni huku akiwataka wanachama wa chama hicho kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha muda mfupi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE

No comments:

Post a Comment