Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe leo ameonesha uzalendo wake baada ya kumkabidhi Bondia Ibrahim Classic kiasi cha Tsh Milioni 18 kama malipo yake ya pambano na Bondia Koos Sibiya kutoka Afrika Kusini ambapo Ibrahim alishinda pambano hilo na kutetea ubingwa wake wa Dunia wa CBG.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE
No comments:
Post a Comment