Saturday 9 December 2017

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa kwa askari 14 DRC


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha askari 14 wa Jeshi la JWTZ kuuawa walipokuwa katika operesheni ya kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).



No comments:

Post a Comment