Friday 26 January 2018

Barcelona watinga nusu fainali Kombe la Mfalme



Klabu ya Barcelona usiku wa kuamkia Leo imefanikiwa kutinga nusu fainali ya Kombe  la Mfalme maarufu kama Copa del Rey kwa ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Espanyol .

Magoli ya Barcelona yamefungwa na Lionel Messi na Luis Suarez ambapo kwa matokeo hayo Barca imefuzu kwa jumla ya tofauti ya goli 2-1 baada ya mechi ya kwanza Barcelona kufungwa goli 1-0.

Barcelona imeungana klabu ya Valencia, Sevilla na Leganes ambazo zote zimefuzu juzi

No comments:

Post a Comment