
Makampuni nane ya kichina yamesaini mikataba ya ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 402.97.
Kampuni hizo zimesaini mikataba hiyo na Wakala wa Barabarani TANROADS mbele ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof Makame Mbarawa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI........USISAHAU KUSUBSCRIBE
No comments:
Post a Comment