Tuesday, 12 December 2017

Mpanda majengo marefu China afariki akionyesha ujuzi wake



Mpanda mijengo mirefu ambaye ni maarufu sana nchini China amefariki akionyesha moja ya ujuzi wake hatari.

Wu Yongning alikuwa amejizolea maelfu ya mashabiki kwenye mtandao ya kijamii wa Weibo, kutokana na video zake fupi za kutisha akiwa juu ya majengo marefu bila ya kuchukua tahadhari zozote za kiusalama.

Wasi wasi uliwaingia mashabiki wake wakati aliacha kuchapisha video zake mwezi Novemba.


Jiwe kubwa linalocheza nchini Tanzania
Mzee mwenye watoto 70 na wajukuu 300 Tanzania
Pacha waliotungwa siku tofauti Australia


Sasa imeibuka kuwa alikufa baada ya kuanguka kutoka jumba la ghorofa 62 kwenye mji wa Changsha.

Vyombo vya habari nchini China vinasema kuwa alikuwa akishiriki kwenye mchezo wa kushinda pesa nyingi


























 Facebook  Twitter  Google+  Pinterest  Linkedin
Newer Post Older Post
POPULAR
Mama Mzazi wa Diamond: "Nimeolewa na Diamond asubiri mdogo Wake"
Mama Mzazi wa Diamond: "Nimeolewa na Diamond asubiri mdogo Wake"
Jeshi la Malaysia lipo tayari kuukomboa mji wa Jerusalem
Jeshi la Malaysia lipo tayari kuukomboa mji wa Jerusalem
FULL VIDEO: Babu Seya na Papi Kocha wakitoka Gerezani
FULL VIDEO: Babu Seya na Papi Kocha wakitoka Gerezani
Breaking News: Rais Magufuli afanya uteuzi kwa watu 6
Breaking News: Rais Magufuli afanya uteuzi kwa watu 6
Sababu ya kuaachiwa Babu Seya yatajwa
Sababu ya kuaachiwa Babu Seya yatajwa
MAGAZETI YA LEO 10/12/2017
MAGAZETI YA LEO 10/12/2017
Kisa Babu Seya mashabiki wamvaa Zitto
Kisa Babu Seya mashabiki wamvaa Zitto
Rais Kenyatta amuandikia barua Rais Magufuli
Rais Kenyatta amuandikia barua Rais Magufuli
Walimu wapigana ofisini
Walimu wapigana ofisini
MAGAZETI YA LEO 8/12/2017

No comments:

Post a Comment