Friday 15 December 2017

Yanga na Timu ya Polisi kucheza Jumapili badala ya Jumamosi

Mechi ya kirafiki iliyopangwa kuchezwa kesho Jumamosi kati ya Yanga na Polisi Tanzania itachezwa keshokutwa Jumapili.

Awali, mechi hiyo ilipangwa ichezwe kesho Jumamosi maalumu kwa Yanga kuangalia nyota wake baada ya kufanya mazoezi.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata salehjembe, mechi imehairishwa kuchezwa mechi hiyo iliyopangwa ichezwe Uwanja wa Taifa kutokana na nyasi kufyekwa bila ya viwango ambazo ni fupi zaidi.

Meneja Mkuu wa Yanga, Hafidh Saleh alithibitisha hilo kwa kusema kuwa "Mechi yetu tuliyopanga tucheze kesho Jumamosi itachezwa Jumapili na siyo Jumamosi kama tulivyopanga baada ya kutokea matatizo.

No comments:

Post a Comment