Tanzania\'s leading online News Edition (The National Newspaper). Get access to the most current and latest authoritative news on local issues, politics, events, celebrations, editorial, columnists, features, people and business.
Beki wa Yanga Juma Abdul amesema matokeo mabaya waliyopata kikosi cha
Kilimanjaro Stars, Watanzania hatupaswi kulaumiana bali tunatakiwa
kujiuliza tulipokosea.
Abdul ambaye amewahi kuitumikia timu hiyo, amesema hakuna sababu ya
kuendeleza lawama kwa makocha na watu wengine, ambapo tathmini ya kina
inatakiwa kufanyika kujua wapi tulipokosea kama nchi katika soka letu.
Aidha Abdul amesema bado hajafikiria kuitumikia timu ya taifa, lakini
ataendelea kujituma ili kusubiri kuitwa kwa mara nyingine na makocha wa
timu za taifa.
No comments:
Post a Comment