Saratani ya mlango wa kizazi
Hii ni njia ya kizazi kati ya uke na mji wa mamba.Ugonjwa huu ukijulikana mapema unweza kutibiwa, wakati wa kufanyiwa uchunguzi wa ubwabwa na fupa nyongo.
Nani yumo hatarini
Wanawake wengine wamo hatarini mwa kupata saratani ya mlango wa kizazi:
Wanawake wasioenda kwa uchunguzi wa kila mwaka wa fupa nyongo na ubwabwa
Wanawake walio na “human papillomavirus” HPV au genital warts
Kuvuta sigara, kuwa na ukimwi,na kutokula vyakula bora huweza kusababisha saratani ya mlango wa kizazi.
Dalili ya saratani ya mlango wa kizazi
Hamna dalili zozote mpaka unaposambaa nje ya mlango wa kizazi.
Hali hii ikitokea waweza kuwa:
Kuvuja damu katikati ya siku za hedhi, unaposhiriki ngono au baada ya hedhi kukatika
Kuvuja damu nyingi zaidi ya kawaida.
Ukiona dalili hizi pata ushauri wa daktari.
Saratani ya Utumbo Mpana na Sehemu za Siri za Nyuma
Saratani ya sehemu za siri za nyuma zipo. Huambukiza sehemu za mmeng’enyo (digestive system) wa chakula. Watu wengi wanaopata ugonjwa huu ni wa umri wa zaidi ya miaka 50.
Matibabu yake yameimarika, lakini ni vyema kugundua mapema.Watu wanahitaji kufahamu madhara, dalili na umuhimu wa kupimwa na madaktari wao.
Walio hatarini kupatwa na saratani ya utumbo mpana:
Ajuza wa miaka 50 na zaidi.
Wanaokula vyakula vya mafuta mengi
Walio na maoteo (ndani ya utumbo mpana )
Wanawake ambao washaugua saratani ya matiti, au mji wa mimba au yai la mwanamke
Aliye wahi kuugua saratani ya utumbo mpana
Aliye na mzazi, jamaa au motto aliye na saratani ya utumbo mpana
Aliye na utumbo mpana wenye kiungulia (donda au uvimbe)
Dalili za saratani ya utumbo mpana ni:
Kuvimbiwa, kusokotwa au kujihisi tumbo limejaa sehemu ya chini
Kuhara, kufunga choo au kujihisi haukamilishi haja kabisa
Damu katika kinyesi
Kinyesi chembamba zaidi
Kupoteza uzito bila ya kufahamu kisababu
Kujihisi mchovu kila wakati
Kutapika
Hizi dalili zinaweza kusababishwa na shida nyingine ambazo si saratani. Muulize daktari wako ili ufahamu
Saratani ya Mapafu
Saratani ya mapafu ndio aina hatari ya magonjwa ya saratani, lakini ndio rahisi kuzuia.Uvutaji wa sigara husababisha asilimia 9% kwa 10% ya kesi za ugonjwa huu.Matibabu ya ugonjwa huu yameimarika lakini bado hakuna tiba.Ili kuimarisha afya yako na walio karibu yako usivute sigara.
Pia hakikisha nyumba yako haina 'radon' gesi hatari isababishayo saratani ya mapafu.
Watu wengine wamo hatarini zaidi ya kupata saratani ya mapafu.
Wanaovuta sigara au kiko, na hata usipo vuta moshi ndani, umo hatarini kupata saratani ya domo. Kukaa karibu na mvutaji sigara au kuishi naye ama kufanya kazi katika mazingira yenye moshi huongeza hatari hasa kwa watoto wasio na namna.
Kiwango kingi cha madini ya radon nyumbani mwako.
Kufanya kazi karibu na asbestos, aseniki, uranium au bidhaa kutokana na mafuta.
Kuwa na kifua kikuu.
Ishara ya saratani ya mapafu ni nini?
Kikohozi kisicho kwisha.
Kuumwa na kifua.
Kukohoa damu
Shida ya kupumua au kukorota upumuapo
Nimonia(kichomi) au mkamba usiyokwisha
Uvimbe shingoni au usoni.
Kupoteza uzito wako bila sababu au kutohisi njaa.
Kujihisi mchovi kila wakati.
Ukiwa na mojawapo ya dalili hizi, hasa ikiwa umo hatarini ya kupata huu ugonjwa, mwone daktari.
Saratani ya Mdomo
Saratani ya mdomo husambaa kinywani kwenye ulimi, ufizi, kidakatonge na koromeo.Watu hawatambui ugonjwa huu upesi.Wanaovuta sigara,kuvuta tumbako au kunywa kunywa pombe wamo hatarini mwa kupata sratani yam domo.Unaweza kusaidiwa ili kuwacha sigara au pombe.Ugonjwa huu unaweza kitibiwa ukiuwahi mapema.
Ishara ya saratani ya Mdomo ni kama zifuatazo;
Uvimbe sehemu yoyote mdomoni, ambao hauponiau kutokuwa na damu kwa urahisi.
Kuhisi uchungu au kufa ganzi mdomoni.
Kuhisi uchungu unapo tafuna, kumeza chakula ulimi unapotumika au taya.
Kubadilika kwa sauti yako.
Kuumwa na sikio.
Koo linalowasha bila kupona.
Ukiwa na ishara hizi mwone daktari haraka sana.
 

 


 Mechi ya kirafiki iliyopangwa kuchezwa kesho Jumamosi kati ya Yanga na Polisi Tanzania itachezwa keshokutwa Jumapili.
Mechi ya kirafiki iliyopangwa kuchezwa kesho Jumamosi kati ya Yanga na Polisi Tanzania itachezwa keshokutwa Jumapili. Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameendelea kuweka rekodi katika 
ligi kuu ya soka nchini England (EPL) baada ya kushinda tuzo ya kocha 
bora wa mwezi Novemba.
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameendelea kuweka rekodi katika 
ligi kuu ya soka nchini England (EPL) baada ya kushinda tuzo ya kocha 
bora wa mwezi Novemba. Mwanza. Naibu Waziri wa Uvuvi, Abdalla Ulega, leo Ijumaa amefanya ziara 
ya kushtukiza katika soko la kimataifa la samaki la Kirumba jijini 
Mwanza na kukamata tani 11 za samaki waliokuwa wakiandaliwa kusafirishwa
 nje ya nchi kinyume cha sheria.
Mwanza. Naibu Waziri wa Uvuvi, Abdalla Ulega, leo Ijumaa amefanya ziara 
ya kushtukiza katika soko la kimataifa la samaki la Kirumba jijini 
Mwanza na kukamata tani 11 za samaki waliokuwa wakiandaliwa kusafirishwa
 nje ya nchi kinyume cha sheria. KIUNGO mkongwe wa Barcelona, Andres Iniesta amesema hana hofu kuhusu 
Neymar kujiunga na Real Madrid lakini akakiri kuwa ikitokea hivyo 
haitampendeza kutokana na uhusiano wa Neymar na mastaa wengine wa 
Barcelona wakati alipokuwa akiichezea timu hiyo.
KIUNGO mkongwe wa Barcelona, Andres Iniesta amesema hana hofu kuhusu 
Neymar kujiunga na Real Madrid lakini akakiri kuwa ikitokea hivyo 
haitampendeza kutokana na uhusiano wa Neymar na mastaa wengine wa 
Barcelona wakati alipokuwa akiichezea timu hiyo. “Chochote kinaweza kutokea kwenye soka, kuna mambo ambayo yalionekana ni
 magumu kutokea na yakatokea, sitashangaa lakini haitapendeza kwa kuwa 
kwa kuwa ni mchezaji mzuri lakini sina hofu,” alisema Iniesta.
“Chochote kinaweza kutokea kwenye soka, kuna mambo ambayo yalionekana ni
 magumu kutokea na yakatokea, sitashangaa lakini haitapendeza kwa kuwa 
kwa kuwa ni mchezaji mzuri lakini sina hofu,” alisema Iniesta.
 Aliyekuwa
 mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake 
watano wamefanikiwa kupata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi 
Kisutu.
Aliyekuwa
 mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake 
watano wamefanikiwa kupata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi 
Kisutu. Wakati wimbo mpya wa Diamond Platnumz aliomshirikisha Rapper Rick Ross 
kutoka Marekani unatoka haukuwa na nguvu kubwa pengine kutokana na 
kuahirishwa kwa tarehe iliyotakiwa kutoka video ya wimbo.
Wakati wimbo mpya wa Diamond Platnumz aliomshirikisha Rapper Rick Ross 
kutoka Marekani unatoka haukuwa na nguvu kubwa pengine kutokana na 
kuahirishwa kwa tarehe iliyotakiwa kutoka video ya wimbo. 



 

