Sunday, 10 December 2017

FULL VIDEO: Babu Seya na Papi Kocha wakitoka Gerezani



Mwanamuziki Mkongwe Nchini Nguza Viking ' Babu Seya' na mwanae Papii Kocha leo wameachiwa huru gerezani walipokuwa wakitumikia kifungo cha maisha jela. Babu Seya na Papii ambao walihukumiwa kifungo hicho mwaka 2004 ni miongoni mwa wafungwa zaidi ya 8000 waliopata msamaha huo katika siku ya Uhuru kutoka kwa Rais Dk John Magufuli.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE


No comments:

Post a Comment