Sunday 10 December 2017

Umoja wa kiarabu waitaka Marekani kufuta uamuzi wake kuhusu Jerusalem



Umoja wa kiarabu katika mkutano wake uliofanyika mjini Cairo umetolea wito Marekani kutupilia mbali uamuzi uliochukuliwa kuhusu jiji la Jerusalem.

Mawaziri wa mambo ya nje katika Umoja wa Kiarabu wametolea wito Marekani kutupilia mbali uamuzi kuhusu Jerusalem , uamuzi ambao unakiuka mikataba ya kimataifa iliyosainiwa kuhusu mji wa Jerusalem.

Umoja wa kiarabu unasema kuwa uamuzi wa Trump ni hatari na una kiuka mikataba ya kimataifa.

Wito umetolewa kwa ulimwengu mzima kukemea uamuzi wa Trump.

Kufuati uamuzi huo, Marekani haina vigezi kuwa mpatanishi katika mzozo baina ya Israel na Palestina.

No comments:

Post a Comment