Sunday 10 December 2017

Marekani yazidi kupata tabu kufuatia suala la mji wa Jerusalem



Ghasia zazuka mbele ya ubalozi wa Marekani baina ya waandamanaji na Polisi katika maandamano mjini Beyruth nchini Lebanon.

Ghasia rimeripotiwa kutokea  mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Beyruth  nchini Lebanon.

Maandamano hayo ymaefanyika kwa lengo la kuonesha ghadhabu kufuatia  uamuzi wa Marekani kutangaza kutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Polisi ililazimika kutumia gesi ya kusababisha machozi ili kuwasambaratisha waandamanaji waliokuwa wakielekea  katika ubalozi wa Marekani.

No comments:

Post a Comment