Sunday, 10 December 2017

Marekani yazidi kupata tabu kufuatia suala la mji wa Jerusalem



Ghasia zazuka mbele ya ubalozi wa Marekani baina ya waandamanaji na Polisi katika maandamano mjini Beyruth nchini Lebanon.

Ghasia rimeripotiwa kutokea  mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Beyruth  nchini Lebanon.

Maandamano hayo ymaefanyika kwa lengo la kuonesha ghadhabu kufuatia  uamuzi wa Marekani kutangaza kutambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Polisi ililazimika kutumia gesi ya kusababisha machozi ili kuwasambaratisha waandamanaji waliokuwa wakielekea  katika ubalozi wa Marekani.

Kiongozi wa mamlaka ya wapalestina akataa kukutana na makamu wa rais wa Marekani



Kiongozi wa mamlaka ya wapalestina Mahmud Abbas hatokukutana na  makamu wa rais wa Marekani Miğke Pence katika ziara yake Mashariki ya Kati.

Mshauri wa nmasula ya kisiasa wa Mahmud Abbas  Bwana Majdi Haldi amesema kuwa uamuzi huo wa kiongozi wa mamlaka ya wapalestina kutokuonana na makamu wa rais wa Marekani umechukuliwa kufuatia uamuzi wa Trump kutangaza kuwa seirikali yake anatambua mji wa Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Mike Pence anatarajiwa kufanya ziara Palestina ili kuzungumzia  mazungumzo ya amani.

Korea Kaskazini yawekewa vikwazo na Korea Kusini


Korea Kusini imetangaza vikwazo vipya dhidi ya mashirika 20 mengine ya Korea Kaskazini, na watu kadha, ili kujibu jaribio la kombora pamoja na mradi wa nyuklia wa Korea Kaskazini.

Wizara ya fedha ilisema hatua hizo zinalenga kuzuia fedha kugharamia mradi wa silaha, kinyume cha sheria.

Karibu mashirika na watu hao wote, yamo katika sekta za benki na safari za meli, na tayari yamepigwa marufuku na Marekani.

Hatua hiyo inachukuliwa majuma mawili baada ya Korea Kaskazini kufanya majaribio ya kufyatua kombora ambalo linasemekana linaweza kufika pahala popote pale nchini Marekani.

Rais Magufuli aweka saini nyaraka za msamaha kwa wafungwa



Rais John Magufuli ametia saini nyaraka za msamaha alioutoa kwa wafungwa 61 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa na wawili Nguza Viking (Babu Seya) na Johnson Nguza (Papii Kocha) waliohukumiwa kifungo cha maisha jela.

Rais Magufuli ametia saini nyaraka hizo leo Jumapili Desemba 10,2017 Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.

Msamaha huo aliutoa jana Jumamosi Desemba 9,2017 katika maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara).

Rais Magufuli amelipongeza Jeshi la Magereza kwa kazi nzuri ya kurekebisha tabia za wafungwa.

Taarifa ya Ikulu imesema Rais Magufuli amesisitiza kuwa pamoja na kutolewa msamaha huo, vyombo vya dola viendelee kusimamia sheria.

Amelitaka Jeshi la Magereza kuhakikisha linawatumia wafungwa kuzalisha mali, yakiwemo mazao ya kilimo na kufanya kazi za ujenzi.

“Nimeona nitumie kifungu hiki cha Katiba -Ibara ya 45 (1) ambacho nilipewa na Watanzania, ingawa kilikuwa hakijawahi kutumika, unajua mtu ambaye alihukumiwa kunyongwa halafu baadaye anaachiwa, ni kitu kinashangaza kwa sababu hakijawahi kutokea, lakini nimeona nifanye hivyo kwa ajili ya Watanzania,” amesema.

Rais Magufuli amesema, “Muendelee kusimamia wajibu wenu na kusimamia sheria, mtu anayehukumiwa kufungwa afungwe kweli, na nilishatoa wito kwa magereza, pasiwepo wafungwa wa kukaa tu na kupumzika, wafanye kazi, kufungwa si kustarehe.”

Akizungumzia hilo, Kamishna Jenerali wa Magereza Dk Juma Malewa amemshukuru Rais kwa kutoa msamaha huo wa kihistoria.

Amesema wafungwa na maofisa Magereza wameipongeza hatua hiyo ambayo itasaidia kuwatia moyo wafungwa wanaorekebishwa tabia katika magereza nchini.

Kamishna Jenerali Malewa amesema wafungwa waliopatiwa msamaha wa kuachiwa huru, waliruhusiwa kutoka magerezani tangu jana.

Amesema maofisa Magereza wamewaasa kwenda kuonyesha mfano bora kwenye jamii watakakokwenda kuishi.

Wakati huohuo, Rais Magufuli amelipongeza Jeshi la Magereza kwa kutekeleza agizo lake la kutengeneza viatu kwa ajili ya askari badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi.

Jeshi la Magereza linazalisha jozi 150 za viatu kwa siku katika kiwanda cha Karanga kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kwa kushirikiana na mfuko wa hifadhi ya jamii wa PPF, jeshi hilo limeanza kuboresha kiwanda hicho ili kufikia uzalishaji wa jozi 450 kwa siku.

Mwananchi:

Hii ndio sababu itakayompelekea Guardiola kustaafu



Kocha wa Manchester City Pep Guardiola, amesema atastaafu kufundisha soka endapo kitafika kipindi ambacho timu atakayokuwa anaifundisha itashindwa kucheza mfumo wake wa kumiliki mpira yaani (TIKTAKA).

Guardiola ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari kuelekea mchezo wa leo wa ligi kuu ya EPL dhidi ya mahasimu wao Manchester United. Alipoulizwa atafanya nini endapo aina ya soka analofundisha halitafanya kazi, amejibu, “nitastaafu”.

"Kama hilo litatokea, nitastaafu kwa sababu sitajisikia vizuri kuona mpira hauchezwi vizuri”, ameongeza kocha huyo wa zamani wa Barcelona na Bayern Munich.

Mtaalam huyo wa ufundi raia wa Hispania amesisitiza kuwa anatamani kuona mpira ukichezwa zaidi kuliko aina nyingine ya mbinu hivyo hawezi kuendelea kufunisha wakati kitu anachokifurahia hakipo tena.

“Tangu mchezo wangu wa kwanza na timu B ya Barcelona nilifundishwa kucheza soka la kuvutia hadi naanza kufundisha soka timu B ya Barcelona nilifundisha ‘TIKTAK’ na nilifanya hivyo na timu ya wakubwa na timu zingine nilizofundisha”, amemaliza Guardiola.

Saturday, 9 December 2017

BREAKING: ''Kuanzia leo Babu Seya aachiwe huru'' - Rais Magufuli

BREAKING: ''Kuanzia leo Babu Seya aachiwe huru'' - Rais Magufuli

Diamond Platnumz Ft Morgan _ Hallelujah Remix |

Diamond Platnumz Ft Morgan _ Hallelujah Remix |

Diamond Platnumz Ft Morgan _ Hallelujah Remix |

Diddy, Drake & Beyonce Are Three Of The Highest Paid Musicians Of 2017

Diddy, Drake & Beyonce Are Three Of The Highest Paid Musicians Of 2017

Diddy, Drake & Beyonce Are Three Of The Highest Paid Musicians Of 2017

It’s been quite the year for hip hop. It was finally identified as the most consumed genre in America and made helped break a few records along the way. So it should come as no surprise that hip hop has dominated the top earning spots on Forbes’ highest paid musicians list of 2017. They publication recently released their annual list and some of hip hop & R&B’s most revered artists of this year landed on the top spots.

According to Forbes, Diddy, Beyonce and Drake claim the top three spots while The Weeknd came in at number four. Diddy had his best year so far, income wise, with $130 million before taxes. Much of that credited to his Bad Boy Family Reunion Tour, Ciroc and the estimated $70 million he earned by selling a third of Sean John clothing. As the only other artist to make nine figures this year, Queen Bey came in with $105 million, which they say is due to the Formation World Tour. Although it wrapped up in 2016, it still ended up on her calendar and she made $250 million off it alone. Drake comes in at third with $94 million, largely due to his highly successful “Boy Meets World” Tour.

The Weeknd came $2 million short of Drake in earnings, making $92 million which they say is predominantly due to his Live Nation advance from touring.

Along them, Jay-Z hit number 19 on the list, making $42 million which ties him with Celine Dion.

Overall, it’s been a good year for hip hop and clearly, it’s been getting people paid out here.

New AUDIO: Burna Boy – Koni Baje

New AUDIO: Burna Boy – Koni Baje

New AUDIO: Burna Boy – Koni Baje

DOWNLOAD

New VIDEO: Jason Derulo ft French Montana – Tip Toe

New VIDEO: Jason Derulo ft French Montana – Tip Toe

New VIDEO: Jason Derulo ft French Montana – Tip Toe



Audio | Jay Moe – Bata | Mp3 Download

Audio | Jay Moe – Bata | Mp3 Download

Audio | Jay Moe – Bata | Mp3 Download

New VIDEO: Coyo – NyakaNyaka

New VIDEO: Coyo – NyakaNyaka

New VIDEO: Coyo – NyakaNyaka


DOWNLOAD

Audio | Mo Fedha – Baki Na Uzuri Wako | Mp3 Download

Audio | Mo Fedha – Baki Na Uzuri Wako | Mp3 Download

Audio | Mo Fedha – Baki Na Uzuri Wako | Mp3 Download

DOWNLOAD