New VIDEO: DJ Big N ft Reekado Banks, Iyanya & Ycee – The Trilogy

New VIDEO: DJ Big N ft Reekado Banks, Iyanya & Ycee – The Trilogy
DOWNLOAD VIDEO

New VIDEO: DJ Big N ft Reekado Banks, Iyanya & Ycee – The Trilogy
DOWNLOAD VIDEO
Tanzania\'s leading online News Edition (The National Newspaper). Get access to the most current and latest authoritative news on local issues, politics, events, celebrations, editorial, columnists, features, people and business.

Jaji Mkuu mstaafu, Augustino Ramadhani amemzungumzia Jaji Robert Kisanga kuwa mtu aliyebobea katika taaluma na hakuwahi kujihusisha na rushwa.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk. Abdulla Juma Saadalla ‘Mabodi’ ametuma salamu za rambi rambi kwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Omar Kinana amfikishie Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. John Pombe Magufuli, kufuatia kifo cha Mtumishi wake Marehemu Bi. Nakia Khamis Abdalla aliyefariki leo Januari 25, 2018.
Rais John Magufuli amepongezwa na mjumbe maalum wa Rais wa Rwanda na aliyewahi kuwa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Donald Kaberuka kwa kuweza kuweza kusimamia ukuaji wa uchumi nchini Tanzania.
Mfanyabiashara Boniface Mbilinyi (32) ambaye hivi karibuni alikamatwa na jeshi la polisi akitaka kusafirisha kiasi kikubwa cha Dola za Marekani kwenda nje ya nchi kinyume na utaratibu, amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kudanganya kiasi cha fedha alichokuwa akitaka kusafiri nacho.
Yanga wao wameamua kufanya mambo yao kimyakimya wakijiandaa na mechi ya Jumamosi.
Rais John Magufuli amemkaribisha Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe kutembelea nchini.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kutafutwa na kukamatwa mara moja kwa watu wote wanaohusika na uteswaji wa vijana wanaopelekwa nje ya nchi kutafuta ajira.