Saturday, 9 December 2017

New VIDEO: Jason Derulo ft French Montana – Tip Toe

New VIDEO: Jason Derulo ft French Montana – Tip Toe

New VIDEO: Jason Derulo ft French Montana – Tip Toe



Audio | Jay Moe – Bata | Mp3 Download

Audio | Jay Moe – Bata | Mp3 Download

Audio | Jay Moe – Bata | Mp3 Download

New VIDEO: Coyo – NyakaNyaka

New VIDEO: Coyo – NyakaNyaka

New VIDEO: Coyo – NyakaNyaka


DOWNLOAD

Audio | Mo Fedha – Baki Na Uzuri Wako | Mp3 Download

Audio | Mo Fedha – Baki Na Uzuri Wako | Mp3 Download

Audio | Mo Fedha – Baki Na Uzuri Wako | Mp3 Download

DOWNLOAD

New VIDEO: Julio Batalia ft. Mucky Comando – One Day

New VIDEO: Julio Batalia ft. Mucky Comando – One Day

New VIDEO: Julio Batalia ft. Mucky Comando – One Day



DOWNLOAD

MTL Waanika Sababu za Kupotea kwa Mwandishi Azory Gwanda!

MTL Waanika Sababu za Kupotea kwa Mwandishi Azory Gwanda!


FULL VIDEO:Makomandoo Wakishuka kwenye Helkopta katika Maonesho ya Miaka 56 ya Uhuru

FULL VIDEO:Makomandoo Wakishuka kwenye Helkopta katika Maonesho ya Miaka 56 ya Uhuru

BREAKING NEWS: Babu Seya, Papii Kocha Waachiwa Huru kwa Msamaha wa JPM

BREAKING NEWS: Babu Seya, Papii Kocha Waachiwa Huru kwa Msamaha wa JPM



BABU SEYA AACHIWA HURU NA RAIS MAGUFULI LEO!

BABU SEYA AACHIWA HURU NA RAIS MAGUFULI LEO!


BREAKING: JPM ameagiza kuachiwa huru kwa Babu Seya na Familia yake


Maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru - DODOMA


RC aagiza kusakwa kwa mwanaume aliyepanga njama za kumuua mkewe



Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry ameliagiza Jeshi la polisi mkoani humo kumsaka na kumtia nguvuni mwanaume mmoja mkazi wa wilaya ya Urambo anaedaiwa kupanga njama za kumuua mke wake kwa kutumia jambazi ambae hakuweza kutimiza jukumu hilo.

RC Mwanry ametoa agizo hilo katika kilele cha kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizofanyika katika uwanja wa Chipukizi mkoani humo zilizoandaliwa na kituo kimoja cha redio mkoani humo.

Kituo hicho baada ya kuandaa kampeni hiyo kilirekodi mkasa wa huyo mama aliofanyiwa na mumewe na kukiweka kipande hicho cha sauti kwenye redio. Huku mama huyo hakutakiwa kuonekana kwasababu za usalama wake.

Kufuatia kusikika kwa mama huyo redioni ndipo RC huyo akatoa maagizo kwa jeshi la polisi kumsaka popote alipo.

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa kwa askari 14 DRC


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha askari 14 wa Jeshi la JWTZ kuuawa walipokuwa katika operesheni ya kulinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).