Tanzania\'s leading online News Edition (The National Newspaper). Get access to the most current and latest authoritative news on local issues, politics, events, celebrations, editorial, columnists, features, people and business.
Thursday, 7 December 2017
Audio | Gazza ft Madee – Nani | Mp3 Download
Audio | Gazza ft Madee – Nani | Mp3 Download

Audio | Gazza ft Madee – Nani | Mp3 Download
DOWNLOAD NOW

Audio | Gazza ft Madee – Nani | Mp3 Download
DOWNLOAD NOW
Audio | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp3 Download
Audio | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp3 Download

Audio | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp3 Download
DOWNLOAD NOW

Audio | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp3 Download
DOWNLOAD NOW
Video | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp4 Download
Video | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp4 Download

Video | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp4 Download
DOWNLOAD NOW

Video | Christian Bella – Shuga Shuga | Mp4 Download
DOWNLOAD NOW
Video | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp4 Download
Video | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp4 Download

Video | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp4 Download
DOWNLOAD NOW

Video | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp4 Download
DOWNLOAD NOW
Audio | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp3 Download
Audio | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp3 Download

Audio | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp3 Download
DOWNLOAD NOW

Audio | Shetta Ft G Nako – Vumba | Mp3 Download
DOWNLOAD NOW
Audio | Tid ft Rich Mavoko – We Dada | Mp3 Download
Audio | Tid ft Rich Mavoko – We Dada | Mp3 Download

Audio | Tid ft Rich Mavoko – We Dada | Mp3 Download
Mauaji ya halaiki makubwa zaidi kuwahi kutokea duniani

Ukisikia mauaji ya Halaiki (genocide) akili inakimbilia Rwanda , Soweto na Holocaust (waisrael walivyouliwa na WANAZI). Leo tunakupa Mauaji yaliyosahaulika lakini nayo ni makubwa mno.
1. WAJERUMANI WALIVYOSAFISHA KABILA LA WAHERERO.
Baada ya kusikia fununu ya madini Namibia, Wajerumani walikuja na kutawala pwani ya nchi hiyo na kukaa katikati ya kabila la waherero. Kosa kubwa wenyeji walipojifanya wabishi. Walizungukwa pande zote, Upande uliobaki ulikuwa ni jangwa ambalo visima vyote vya maji mjerumani alivitia sumu. Ukimbie unywe maji ya sumu au ufe na kiu jangwani au ukutane na risasi. Asilimia 80 ya wenyeji wote waliuwawa kikatili sana bila huruma.
2. WASOVIETI/USSR WALIPOHAMISHA JAMII NZIMA YA WACHECHNYA.
Kulizuka fununu kuwa Wachechya na Wainguish walikuwa wanawasaliti warusi wenzao vita ya pili ya dunia. Kuwapa adhabu serikali iliamuwa kubeba wote kwenye magari na kuwafukizilia maporini bila kumsamehe hata mmoja. Kila aliyebisha alikutana na Risasi . Wachechnya waliuwawa karibu 50% kutokana na sakata hili lililoitwa “Operation Lentil.”.
3. (HAITI) MAUWAJI YA PARSLEY/EL CORTE AU (KUKATWA).
Ukabila usikie tu redioni. Hii ilikuwa ni vita ya Kikabila, Wadominika walipanga kuwauwa Wahaiti karibu wote nchini mwao chini ya dikteta Rafael Leonidas Trujillo. Njia pekee ya kumtofautisha Mdominika na Muhaiti kwa walioleta utata kuwatambua ilikuwa matamshi ya hili neno "PARSLEY". Wahaiti walikuwa hawawezi kulitamka vizuri kutokana na Lugha yao. Wote walioshindwa waliuwawa kinyama. Kuepusha risasi zisiishe mapema, Hapa ilikuwa ni Mapanga na marungu asubuhi na mchana.
4. (TAIPEI REBELION) CHINA WATU ZAIDI YA 20 MILLION WALIPOTEZA MAISHA.
Hapa ilikuwa ni vita kati ya jamaa aliwaaminisha watu kuwa yeye ni Mdogo wake YESU. Akitawala karibu 1/3 ya nchi yote Hong Xiuquan. Akiongoza jeshi dhaifu kabisa kwa nia ya kuondoa kamali, uonevu, ndoa za wake wengi nk, China ilijikuta chini aya vita vya miaka 10 na kuacha raia zaidi ya 200 million wakifa na mamia kupotea.
5. UTURUKI DHIDI YA WANAVIJIJI WAASI.
Wanakijiji wa eneo la Dersim , walipoleta ubishi kuwa chini ya serikali ya Uturuki badala yake wakang'ang'ania sheria na taratibu zao, Jeshi lilitumwa, Makabila matatu yaliyojisalimisha yaliuliwa wote, Wakina mama na watoto waliokimbilia kwenye Mapango, Yalifunikwa na mawe, moto ukawashwa na wakafa kwa moshi. Inakadiliwa kwa siku moja watu karibu 2 MILLION waliuliwa na wengine kutekwa.
6. DICTETA WAKIRUSI STALIN ALIPOUA MAMILIONI UKRAIN KWA NJAA.
Waukraini walipata upenyo baada ya kuanguka utawala wa Czar Urusi wakataka kujitawala. Jenelali Stalin alipochukua Madaraka akaliona hilo. Pia Vradmil Lenin alikuwa kaishaweka mikakati ya kurudisha maeneo yote. Wao wakambishia na kuendelea na Harakati. Kwanza alikamata wasomi waliokuwa wanahojihoji 5000 na kuwaua wote, Akachukua mashamba ya raia yote. Akawapa adhabu ya njaa hadi nchi nzima isalimu amri kwake. Inasadikiwa kwa sababu ya njaa kila siku watu 2500 walikuwa wanakufa, na walifika watu karibu million 5.
7. MAUAJI YALIYOFANYA NA WAZUNGU DHIDI YA WAMAREKANI ASILIA (WAHINDI WEKUNDU).
Mamilioni ya hawa jamaa waliuliwa bila huruma. Ila hapa tutazaungumzia kabila dogo tu la MOQUI katika mji ulioitwa AWATOVI huko ALIZONA. Wahispania Makasisi walifika wakawalazimisha kuwa wakristo wakagoma. Ikabidi liitwe jeshi, maana wakazi waliwachukia wahispania na wachache waliobadili dini. Wanaume wakiwa kwenye sherehe Walivamiwa na kuuliwa. Wanaume wote. Wanawake na watoto wakachukuliwa mateka. Wakiwa njiani wakabishana wawapeleke wapi, wakaamua kuwaua woote ili kujipunguzia mizigo.
8: JEAN JACQUES DESSALINES ALIPOIGEUZA HAITI KUWA TAIFA LA WATU WEUSI ASILIMIA MIA.
Kile alichoshindwa kinjekitile wa Maji maji Haiti iliwezekana. Mzungu alikimbizwa na watumwa nchi ikapatia uhuru chini ya mkono wa watu weusi. Baada ya kiongozi wa mapinduzi kuuawa aliyemfuatia alipinga idea zake za kuwavumilia wazungu na machotara. Amri ilitolewa Kuua wazungu wote nchi nzima. Hakuishia hapo tu alipita kila mji kuhakikisha agizo linafuatwa. Katika mji mkuu tu wazungu zaidi ya 800 waliuawa kama wanyama na wengine kukimbia. Ilikuwa revenge ya aina yake. Hadi kesho haiti ni nchi ya watu weusi tu asilimia karibu mia kwa baara la Barani Amerika.
9: VITA VYA BIAFRA - NIGERIA.
Tofauti na tanzania tuna makabila mengi yanayopendana, na Nyerere alisaidia kikubwa, Hii haikuwa hivyo Nigeria. Wanamakabila zaidi ya 300 na yalikuwa karibu karibu kilichosababisha ugomvi mara kwa mara.Tatizo lilianza pale Kabila/kundi kubwa la IGBO walipojikatia nchi na kutengeneza nchi yao ya BIAFRA eneo tajiri kwa mafuta. Serikali haraka ikataka kuwarudisha. Kwa mbinu katili kabisa hata kuzuia chakula na maji yasielekee BIAFRA. Inasemekana kila siku walikuwa wanakufa watu zaidi ya 5000 wengi wao IGBO. Watu zaidi ya Milioni 3 walikufa hadi vita kuisha.
Wednesday, 6 December 2017
Facebook yazindua mtandao wa kijamii wa watoto

Kampuni ya Facebook imezindua mtandao mpya wa kijamii wa kutumiwa na watoto wa chini ya miaka 13.
Mtandao huo ambao umeundwa kwa njia sawa na mtandao wa Messenger ambao huwawezesha wanaoutumia kuwasiliana kwa kutumiana ujumbe utakuwa ukiitwa Messenger Kids.
Facebook kwa kawaida imekuwa hairuhusu watoto wa chini ya miaka 13 kutumia mtandao wake mkuu wa Facebook.
Lakini taarifa zinasema wapo wengi ambao huhadaa kuhusu umri wao na kwamba inakadiriwa watoto zaidi ya 20 milioni wa chini ya miaka 13 wanatumia mtandao wa Facebook.
Messenger Kids inatarajiwa kuwapa watoto ufahamu kuhusu nembo ya Facebook na hivyo kuongeza uwezekano wao kusalia kwenye mtandao huo. Facebook wamechukua hatua hiyo huku wakiendelea kupata ushindani mkali kutoka kwa Snapchat.
Facebook wamesema utafiti unaonesha wazazi wako radhi kuwaruhusu watoto wao wa miaka 6 hadi 12 watumie mitandao ya kijamii, mradi wawe wanaweza kufuatilia watoto wao wanafanya nini.
Facebook imeongeza uwezo wa kuhariri picha na video kuzifanya ziwavutie watotoHaki miliki ya
Facebook imeongeza uwezo wa kuhariri picha na video kuzifanya ziwavutie watoto
Facebook Messenger Kids itahitaji wazazi kuwafungulia watoto wao akaunti na pia ndio watakaoidhinisha ni watoto gani wanaweza kuwa marafiki wa watoto wao.
Akaunti ya mtoto inaweza kusimamia na mzazi kwa kutumia akaunti yake ya Facebook.
Watoto wataruhusiwa kuwasiliana kwa video, kutuma picha, video na arafa kwa marafiki zao ambao wameidhinishwa na wazazi wao.
Kwa sasa, mtandao huo wa kijamii utapatikana Marekani pekee na kwa watu wanaotumia iOS au simu na mitambo ya Apple.
Mzawa wa Zanzibar ashinda tuzo ya Tuner Prize Uingereza

Profesa Lubaina Himid ni mzaliwa wa Zanzibar ambaye ni mtanzania ametangazwa kuwa mshindi wa 'Turner Prize 2017'katika tuzo kubwa za Sanaa nchini Uingereza.
Majaji wamempa Tuzo kwa maonesho matatu yaliyofanyika Oxford, Bristol na Nottingham ambapo waliisifu kazi yake ambayo inaangazia Afrika duniani kote pamoja na ubunifu wa mtu mweusi jambo ambalo wameliita namna nzuri ya ubunifu.
Profesa Himid ambaye ni mwanamke wa kwanza mweusi na mtu mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kutwaa Tuzo hiyo amesema atatumia tuzo ya fedha ya dola elfu thelathini na tatu ($33,000) alizozipata kuwasaidia wasanii wachanga kuweza kuonesha kazi zao.
Google yaajiri watu kuondoa Video zilizo kinyume na maadil

New York, Marekani. Kampuni ya Google inayomiliki mtandao wa kurusha video wa Youtube imeanza kuajiri watu wa kupitia video na kuondoa zilizo kinyume cha maadili.
Mtandao huo pia umeanzisha kanuni kali zitakazosaidia kuondokana na kadhia ya video zinazokinzana na maadili.
Hadi mwakani, kampuni hiyo imepanga kuajiri watu 10,000. Mkurugenzi wa Youtube, Susan Wojcicki amesema wataajiri watu wengi zaidi Desemba na Januari,2018.
Amesema wanalazimika kufanya hivyo kwa sababu katika kipindi cha miezi sita wameshuhudia video zaidi ya 2 milioni zilizokuwa zikichochea uhalifu na nyingine za ugaidi.
"Tutafuatilia maoni yanayotolewa na watazamaji pia, tutayaondoa iwapo yatabainika yana nia ovu ya kushambulia au kuchochea uhalifu,” amesema Susan.
Mtandao wa Youtube uliingia matatani hivi karibuni baada ya kudaiwa kuwapo video za udhalilishaji watoto. Kampuni nyingi kubwa duniani zilijiondoa kutangaza katika mtandao huo.
Ewura yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza kupanda bei ya mafuta ya taa, petroli na dizeli kulinganisha na Novemba Mosi, 2017.
Bei za rejareja za petroli, dizeli na mafuta ya taa zimeongezeka kwa Sh41 kwa lita sawa na asilimia 1.96; Sh30 (asilimia 1.54) na Sh3 (asilimia 0.17) kwa mfuatano huo.
Bei ya jumla ya petroli, dizeli na mafuta ya taa imeongezeka kwa Sh41.42 sawa na asilimia 2.06, Sh30 (asilimia 1.63) na Sh3.27 (asilimia 0.18) kwa mfuatano huo.
Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Godwin Samwel, ongezeko la bei kuanzia leo Jumatano Desemba 6,2017 limetokana na ongezeko la gharama za usafirishaji.
Amesema licha ya kuimarika kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani fedha inayotumika kununulia mafuta, kumekuwa na ongezeko la bei ya bidhaa hiyo.
Subscribe to:
Comments (Atom)
























