Tanzania\'s leading online News Edition (The National Newspaper). Get access to the most current and latest authoritative news on local issues, politics, events, celebrations, editorial, columnists, features, people and business.
Wednesday, 3 January 2018
Audio | Dudu Baya – Nimeshasema | Mp3 Download
Audio | Dudu Baya – Nimeshasema | Mp3 Download

Audio | Dudu Baya – Nimeshasema | Mp3 Download
DOWNLOAD

Audio | Dudu Baya – Nimeshasema | Mp3 Download
DOWNLOAD
Sunday, 31 December 2017
Audio | Magic Soldier Ft. Kolly The Magic – Vunja Goti | Mp3 Download
Audio | Magic Soldier Ft. Kolly The Magic – Vunja Goti | Mp3 Download

Audio | Magic Soldier Ft. Kolly The Magic – Vunja Goti | Mp3 Download
DOWNLOAD

Audio | Magic Soldier Ft. Kolly The Magic – Vunja Goti | Mp3 Download
DOWNLOAD
Audio | Msamaria Danielo – Yari Wewe | Mp3 Download
Audio | Msamaria Danielo – Yari Wewe | Mp3 Download

Audio | Msamaria Danielo – Yari Wewe | Mp3 Download
DOWNLOAD

Audio | Msamaria Danielo – Yari Wewe | Mp3 Download
DOWNLOAD
Video | Mr 2Kay – Pray For Me | Mp4 Download
Video | Mr 2Kay – Pray For Me | Mp4 Download

Video | Mr 2Kay – Pray For Me | Mp4 Download

Video | Mr 2Kay – Pray For Me | Mp4 Download
Video | Fid Q Ft Diamond Platnumz & Rayvanny – Fresh Remix | Mp4 Download
Video | Fid Q Ft Diamond Platnumz & Rayvanny – Fresh Remix | Mp4 Download

Video | Fid Q Ft Diamond Platnumz & Rayvanny – Fresh Remix | Mp4 Download
DOWNLOAD

Video | Fid Q Ft Diamond Platnumz & Rayvanny – Fresh Remix | Mp4 Download
DOWNLOAD
Manchester United yapata matokeo mabovu

Klabu ya Manchester United bado imeendelea kupata matokeo mabovu kwenye Ligi Kuu soka England baada ya jana kulazimishwa sare ya bila kufungana dhidi ya klabu ya Southampton.
Kwa matokeo hayo Manchester United ambayo ilikuwa nafasi ya pili kwa muda mrefu kwenye msimamo wa EPL imeshuka hadi nafasi ya tatu baada ya Chelsea jana kupata ushindi mnono.
Wakati hayo yakitokea Manchester United imepata janga lingine kubwa zaidi kwa kuumia mchezaji wao tegemezi, Paul Pogba jana kwenye mchezo huo.
Pia kupitia mtandao wa klabu hiyo umethibitisha kuwa mshambuliaji wao Zlatan Ibrahimović kuwa atakuwa nje ya uwanja kwa mwezi mmoja kuanzia jana.
Matokeo hayo yanaifanya Manchester United kupata sare tatu mfululizo kwenye EPL na kupoteza mechi moja ya kombe la EFL.
Matokeo mengine ya ya mechi za jana za EPL ni kama ifuatavyo.

Countinho asaini Barcelona

Kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Nike imevujisha kuwa huenda usajili wa nyota wa Liverpool na Brazil Phillipe Coutinho kwenda Barcelona umekamilika tayari.
Nike kupitia tovuti yao jana waliweka picha ya jezi ya Barcelona ya msimu huu yenye jina la Coutinho, huku wakiambatanisha na ujumbe unaoonyesha kuwa nyota huyo anatua Cam Nou kabla ya msimu kumalizika.
"Philippe Coutinho yuko tayari kuipamba Camp Nou'', Waliandika Nike ujumbe huo kwenye picha ya jezi za FC Barcelona za msimu huu 2017-18 iliyoandikwa jina la Coutinho.
Baadae Nike walifuta ujumbe huo baada ya mashabiki wa Liverpool kuanza kuishambulia kampuni hiyo kuwa inashinikiza mchezaji wao ahamie Barcelona kwa kuwa Nike wanaidhamini klabu hiyo ya Hispania.
Coutinho mwenye umri wa miaka 25 amefunga mabao saba na kutoa msaada wa mabao sita kwenye Ligi Kuu soka nchini Englanda msimu huu.
BREAK NEWS; Askofu Kakobe azungumzia utajiri wake

Ikiwa yamebaki Masaa machache kabla ya mwaka 2017 kumalizika na kuukaribisha mwaka mpya wa 2018, Askofu Mkuu wa Makanisa ya Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe ameunguruma katika ibada aliyoiongoza Leo kanisani huku akijinasibu kuwa ni Tajiri kuliko Serikali zote duniani
Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe amesema kwamba yeye sio tu Tajiri kuliko Serikali ya Tanzania, Bali ni Tajiri kuliko Serikali zote duniani ikiwemo ya Marekani na Uingereza'.
" Wanaosema Kakobe amekimbia nchi nawashangaa sana sipo na wala siendi popote, kipindi Fulani walikuja kuchunguza uraia wangu lakini wakaambulia patupu, tutabanana hapa hapa" Askofu Kakobe
" Watu wanasema Niko kimya sana wala sipo kimya tatizo wanataka nizungumze wanayoyataka wao, sasa Mimi sio mtu wa namna hiyo, ukiniona nimesimama katika madhabau Hays basi ujue nina kibali cha Mungu, mtu ukitwa Mbwa kwani wewe ndio itakua Mbwa? Sasa nashangaa unaogopa nini kuitwa Mbwa wakati wewe sio Mbwa" Askofu Kakobe
Dkt. Shika atangaza nia ya kuoa

Dkt. Louis Shika ambaye amejipatia umaarufu baada ya kutangaza dau la kununua nyumba za Lugumi, amefunguka na kutangaza nia ya kutaka kuoa endapo atapata mwanamke ambaye anamuhitaji.
Dkt. Shika amesema kuwa kwa sasa hana mpango wowote wa kurudiana na wanawake ambao amezaa nao watoto nchini Tanzania bali anatafuta mwanamke mwingine mpya ambaye atamuoa
"Nikimpata anayenihitaji na mimi nikamuhitaji nitaoa , saizi nipo tu kwanza nasubiri ila siyo kama sina mpenzi kwani wapenzi huwa hawakosekani mnakutana, mnapendana lakini mjue kuwa mpenzi na mke ni watu wawili tofauti. Siwezi kabisaa kurudiana na wazazi wenzangu kwani hicho kipindi kimepitwa na wakati saizi nataka mpya" alisema Dkt. Shika
Mbali na hilo Dkt. Shika amesema kuwa hawezi kuhama katika nyumba ambayo anaishi kwa kuwa anaishi bure kwenye nyumba hiyo hivyo ataondoka endapo atapata nyumba yake ila kuondoka na kwenda kupanga ni jambo ambalo hataliweza na kuwa hata huyo rafiki aliyempa nyumba hiyo atamshangaa.
Subscribe to:
Comments (Atom)



