Sunday, 10 December 2017

New VIDEO: J samson – Amezaliwa

New VIDEO: J samson – Amezaliwa

New VIDEO: J samson – Amezaliwa


DOWNLOAD

Kitu JPM amewaambia Magereza leo baada ya kusamehe kina Babu Seya

Kitu JPM amewaambia Magereza leo baada ya kusamehe kina Babu Seya

#Throwback Audio | Papi Kocha ft Nguza – Seya | Mp3 Download

#Throwback Audio | Papi Kocha ft Nguza – Seya | Mp3 Download

#Throwback Audio | Papi Kocha ft Nguza – Seya | Mp3 Download

DOWNLOAD

New VIDEO: Sheebah – MUWE

New VIDEO: Sheebah – MUWE


New VIDEO: Sheebah – MUWE


DOWNLOAD

Audio | Hyper Burton – Muelezee | Mp3 Download

Audio | Hyper Burton – Muelezee | Mp3 Download

Audio | Hyper Burton – Muelezee | Mp3 Download

DOWNLOAD

New VIDEO: Tiki – Sichoki

New VIDEO: Tiki – Sichoki
New VIDEO: Tiki – Sichoki



Audio | T Sigwa – Come 2 Me | Mp3 Download

Audio | T Sigwa – Come 2 Me | Mp3 Download

Audio | T Sigwa – Come 2 Me | Mp3 Download


New VIDEO: Mafikizolo ft. Yemi Alade – Ofana Nawe

New VIDEO: Mafikizolo ft. Yemi Alade – Ofana Nawe
New VIDEO: Mafikizolo ft. Yemi Alade – Ofana Nawe




Audio | Wafalme – Mademu Wangekuwa Chakula | Mp3 Download

Audio | Wafalme – Mademu Wangekuwa Chakula | Mp3 Download

Audio | Wafalme – Mademu Wangekuwa Chakula | Mp3 Download

DOWNLOAD

Audio | Msaga Sumu – Mwache Adange | Mp3 Download

Audio | Msaga Sumu – Mwache Adange | Mp3 Download

Audio | Msaga Sumu – Mwache Adange | Mp3 Download

DOWNLOAD

Tundu Lissu afunguka



Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu ambaye anaendelea na matibabu nchini Kenya jijini Nairobi amefunguka na kusema kuwa wanaendelea kupigana na watashinda vita hiyo.

Lissu amesema hayo baada ya kukutana na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa CUF, Ismail Jusa Ladhu alipomtembelea jijini Nairobi katika hospitali anayopatiwa matibabu kufuatia kushambuliwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 akiwa mjini Dodoma.

"Leo nina furaha sana kwa kupata fursa ya kumtembelea sahib na ndugu yangu, Tundu Lissu, Nairobi Hospital anakoendelea kupata matibabu baada ya kupigwa risasi zipatazo 16 mwilini Septemba 7, mwaka huu. Amenambia nikufikishieni ujumbe huu: "We keep up the fight and we shall win" alindika Jussa kwenye mtandao wake wa twitter

Mbali na hilo Jussa amedai kuwa afya ya Tundu Lissu kwa sasa inaendelea vizuri sana

"Anaendelea vizuri sana. Mimi leo nilivyomuona sikuamini jinsi anavyopata nafuu. Kwa hakika ni Qudra ya Mwenyezi Mungu. Tuendelee kumuombea dua apone haraka arudi kwenye shughuli zake"

FULL VIDEO: Babu Seya na Papi Kocha wakitoka Gerezani



Mwanamuziki Mkongwe Nchini Nguza Viking ' Babu Seya' na mwanae Papii Kocha leo wameachiwa huru gerezani walipokuwa wakitumikia kifungo cha maisha jela. Babu Seya na Papii ambao walihukumiwa kifungo hicho mwaka 2004 ni miongoni mwa wafungwa zaidi ya 8000 waliopata msamaha huo katika siku ya Uhuru kutoka kwa Rais Dk John Magufuli.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE


Wakili wa Babu Seya afunguka



Wakili Mabere Marando aliyekuwa akimtetea mwanamuziki mkongwe nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, amesema uamuzi wa Rais John Magufuli kuwasamehe umekuwa ni ‘surprise’ (jambo la kushtukiza) kwake.

Babu Seya na Papii Kocha ambaye pia ni maarufu kama Mtoto wa Mfalme walikuwa wakitumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kuwabaka na kuwalawiti watoto 10 wa kike ambao walikuwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza Dar es Salaam.

Tayari walishatumikia kifungo hicho kwa miaka 13 na miezi minne.

Wakili Marando ambaye aliwatetea katika rufaa yao ya pili Mahakama ya Rufani alisema uamuzi wa Rais Magufuli umemshangaza na ameupokea kwa furaha kubwa.

Marando ambaye alifanikiwa kuwatoa kifungoni watoto wawili wa Babu Seya, Mbangu na Francis katika rufaa hiyo alisema hakutarajia uamuzi kama huo.

“Asante sana, asante sana, asante sana, namshukru sana Rais Magufuli kuwasamehe, kwa kweli sikutarajia hili. Hii imekuwa ni surpirise, asante sana,” alisema Wakili Marando ambaye alikuwa hajapata taarifa za uamuzi huo hadi alipoulizwa na mwandishi wetu.

Mwananchi: