Thursday, 28 December 2017

Video | Nancy Hebron ft Vanessa Mdee, Mimi Mars – Beautiful Jesus | Mp4 Download

Video | Nancy Hebron ft Vanessa Mdee, Mimi Mars – Beautiful Jesus | Mp4 Download


Video | Nancy Hebron ft Vanessa Mdee, Mimi Mars – Beautiful Jesus | Mp4 Download


Video | Joh Makini – Mipaka.| Mp4 Download

Video | Joh Makini – Mipaka.| Mp4 Download

Video | Joh Makini – Mipaka.| Mp4 Download

DOWNLOAD

Video | Samir – Zuzu.| Mp4 Download

Video | Samir – Zuzu.| Mp4 Download

Video | Samir – Zuzu.| Mp4 Download

DOWNLOAD


Audio | Mercy Masika – Upendo | Mp3 Download

Audio | Mercy Masika – Upendo | Mp3 Download



Audio | Mercy Masika – Upendo | Mp3 Download

DOWNLOAD

Audio | Saida Karoli – Kabaka | Mp3 Download

Audio | Saida Karoli – Kabaka | Mp3 Download

Audio | Saida Karoli – Kabaka | Mp3 Download

DOWNLOAD

Audio | Orbit – 1000 -100,000 “Buku kuwa Laki | Mp3 Download

Audio | Orbit – 1000 -100,000 “Buku kuwa Laki | Mp3 Download

Audio | Orbit – 1000 -100,000 “Buku kuwa Laki | Mp3 Download


DOWNLOAD

Audio | Chemical – Struggle | Mp3 Download

Audio | Chemical – Struggle | Mp3 Download

Audio | Chemical – Struggle | Mp3 Download

DOWNLOAD

Audio | B2k – Tunaendana | Mp3 Download

Audio | B2k – Tunaendana | Mp3 Download

Audio | B2k – Tunaendana | Mp3 Download

DOWNLOAD

Video | Tiwa Savage – SugarCane | Mp4 Download

Video | Tiwa Savage – SugarCane | Mp4 Download

Video | Tiwa Savage – SugarCane | Mp4 Download


DOWNLOAD

Guardiola afunguka asema Barcelona yapewa jeuri na Messi


Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema Lionel Messi ndio mtu anayeifanya Barcelona iwe timu yenye nafasi kubwa ya kutwaa Ligi ya mabingwa Ulaya msimu huu.

Guardiola ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali kutoka kwa mwandishi wa habari ambaye alimuuliza kuhusu timu yake ya Man City kama ina nafasi kubwa ya kushinda ubingwa wa Ulaya msimu huu.

Pep alimjibu mwandishi kwa kumuuliza swali kuwa, “Ni timu gani anachezea Lionel Messi”, ? Baada ya mwandishi kujibu kuwa ni Barcelona ndipo Guardiola akamwambia kuwa ndio timu yenye nafasi ya kutwaa UEFA.

Guardiola alifafanua kuwa aina ya uchezaji wa Barcelona kwa sasa ni hatari zaidi kwani wanaanza kumiliki mpira kwenye eneo la ushambuliaji kwa kumtumia zaidi Messi.

“Hakuna asiyejua ubora wa Messi, na kama Barcelona inamtumia kwenye eneo la adui unategemea nini kama sio kukumaliza tu mpinzani”, ameeleza Guardiol



Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB atangaza kujiuzulu


MTENDAJI Mkuu wa CRDB Bank, Dr Charles Kimeo, leo ametangaza kustaaafu ifikapo Mei 2019. Dkt. Kimei aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kwamba hatua hiyo ni kwa ajili ya kuanzisha mchakato wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo kupata mtu atakayeshika nafasi yake kwa mujibu wa taratibu na kanuni zilizopo.

Kabla ya kujiunga na benki hiyo, Dk Kimei alifanya kazi Benki Kuu ya Tanzania kama Mkurugenzi Mfawidhi wa Shughuli za Benki, Mkurugenzi wa Sera, Uchumi na Utafiti, Meneja wa Idara ya Utafiti wa Uchumi na Sera na nyadhifa nyingine mbalimbali katika Idara ya Utafiti. Hivi sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki Mabenki nchini.

Amewahi pia kufanya kazi katika bodi mbalimbali ikiwemo ya Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Mamlaka ya Elimu nchini, Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kampuni ya Huduma za Mikopo Midogo ya CRDB na tawi la CRDB nchini Burundi.

Dkt. Kimei ana Shahada ya Uzamivu katika Uchumi aliyoipata Chuo Kikuu cha Uppsala cha Sweden, Shahada ya Uzamili katika Uchumi aliyoipata Chuo cha Uchumi cha Stockholm na Shahada ya Sayansi (Uchumi) aliyoipata Chuo Kikuu cha Taifa cha Moscow.


Baada ya kuwashuku wachezaji kuiba blanketi, shirika la Ndege lawaomba radhi


Shirika la American Airlines limewaomba msamaha wachezaji wawili wa mpira wa kikapu ambao walifukuzwa kutoka kwa ndege kwa kuwashuku kuiba.

Marquis Teague na Trahson Burrell waliabiri ndege hiyo siku moja kabla ya krismasi wakielekea kucheza mechi.

Lakini kabla ya ndeye kuondoka uwanjani, mhudumu mmoja wa ndege alidai kuwa wanaume hao walikuwa mablanketi kutoka upande wa kifahari wa ndege ambapo walilazimishwa kushuka kutoka kwe ndege hiyo.

Baadaye ilibainika kuwa ni abiria walikuwa wamewapa mablanketi hayo.

Wachezaji hao wote walikuwa wa asilia ya Afrika akiwemo mhudumu wa ndege.

Hakuna mchezaji kati ya hao wanaochezea timu ya Memphis Hustle amezungumzia kisa hicho.

Laiki naibu kocha wa Hustle, Darnell Lazere aliandika katika twitter kuwa kitendo hicho kilichochewa na ubaguzi wa rangi.

Wachezaji walikuwa wakisafiri kutoka uwanja wa Dallas-Fort Worth kwenda Sioux Falls, South Dakota wakitumia ndege ya Envoy Air iliyo sehemu ya American Airlines.




Nikki wa Pili atupa dongo hili



 Msanii Nikki wa Pili ambaye ni miongoni mwa wasanii wachache wanaofanya uchambuzi wa masuala mbali mbali ikiwemo uchumi wa taifa, ametupa jiwe gizani kuhusu sera mpya ya viwanda.

Kupitia ukurasa wake wa twitter Nikki wa Pili ameandika ujumbe kuhusu sera mpya ya Tanzania ya viwanda inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano, na kusema kwamba ni vyema tukajitafakari kwa hili kwani nchi ambazo zimefanikiwa, zilitumia mfumo wa ruzuku na sio wawekezaji pekee.

"Kupitia ruzuku ya serikali, na ulinzi dhidi ya ushindani wa kisoko kwa miaka 40 ndipo Japan wakafanikiwa kuisimamisha secta ya viwanda vya magari, sasa tunao hubiri Tanzania ya viwanda kupitia wawekezaji na ushindani wa kisoko tujitafakari",ameandika Niki wa Pili.

Sasa hivi Tanzania inapambana kuleta mapinduzi ya viwanda ili nchi iweze kuzalisha vitu vingi yenyewe bila kuagiza nje, huku ikitoa fursa kwa wawekezaji mbali mbali kuja nchini kuwekeza kwenye sekta ya viwanda.