Tuesday, 12 December 2017

Watoto 2,400 waliokosa Shule wamepata fursa kujifunza kwa kutumia Tableti


Watoto takribani 2,400 waliokosa shule wamepata fursa ya kujifunza wenyewe kwa kutumia teknolojia ya kisasa inayotumia Tableti, ikiwa ni mradi wa majaribio wa miezi 15 ambao umezinduliwa mkoani Tanga.

Mradi huo umezinduliwa katika kijiji cha Zenith ya Kati, wilayani Muheza mkoani Tanga ukiwa ni sehemu ya mradi mkubwa wa miaka mitano wa majaribio duniani chini ya Global Learning Xprize wenye lengo la kutatua matatizo ya kujifunza.

Mpango huo utagusa watoto 2,400 wa miaka kuanzia 9 hadi 11 kutoka katika vijiji 167 vya wilaya za Handeni, Korogwe, Lushoto, Muheza, Mkinga na Pangani. Timu ya wabunifu itahakikisha inawawezesha watoto waliokosa elimu ya darasani kujifunza stadi za msingi za kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) kwa kutumia Tableti.
Mradi huo hapa nchini unaendeshwa kwa pamoja na Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na XPrize ambao wametoa tableti husika.

Mwakilishi wa UNESCO anayesimamia mradi huo Faith Shayo amesema mradi huo umewezekana kuwepo kutokana na makubaliano kati ya serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya elimu na TAMISEMI na mashirika husika.

Audio | Beka Flavour – Najima | Mp3 Download

Audio | Beka Flavour – Najima | Mp3 Download

Audio | Beka Flavour – Najima | Mp3 Download

DOWNLOAD

"Dada yangu hajataka niolewe sijui ananiona Bikra bado?" - SHILOLE

"Dada yangu hajataka niolewe sijui ananiona Bikra bado?" - SHILOLE

MAGAZETI YA LEO 12/12/2017



TANGAZA BIASHARA YAKO NA WINOKEMEDIA360



Tangaza Biashara yako nasi ili uweze kufikia malengo uliyo jiwekea katika Biashara yako, WINOKEMEDIA360 inauwezo mkubwa sana wa kuitangaza Biashara yako yoyote ile.

Kama vile
Maduka / Bidhaa
Makampuni na Mashirika
Shule / Vyuo
Viwanja / Mashamba
Nyumba / Apartment
Hotel / Restaurant
Mikutano / Sherehe


Bei zetu ni nafuu sana mawasiliano nasi 0675762540 Au 0688108760 Kwa Namba Ya Whatsapp.

MSANDO AMUANDIKIA MAKONDA "Tumewahi kupingana, kutofautiana, kubishana"

MSANDO AMUANDIKIA MAKONDA "Tumewahi kupingana, kutofautiana, kubishana"

Nassari atembelea waliopigwa kwenye Udiwani

Nassari atembelea waliopigwa kwenye Udiwani


Majibu ya Roma na Aslay baada ya Stamina kuvuta jiko

Majibu ya Roma na Aslay baada ya Stamina kuvuta jiko

Steve Nyerere atangaza kuwania tena Ubunge Kinondoni

Steve Nyerere atangaza kuwania tena Ubunge Kinondoni


Alichoongea Thobias Mwisiga baada ya kuukosa Uwenyekiti UVCCM

Alichoongea Thobias Mwisiga baada ya kuukosa Uwenyekiti UVCCM


Kauli ya Waziri Mwijage juu ya wanaohama vyama vyao


MAGAZETI LIVE: Siri nzito Babu Seya, Aliyesamehewa na Magufuli, alifutiwa kifo na Nyerere


Audio | Tunda Man – Toto | Mp3 Download

Audio | Tunda Man – Toto | Mp3 Download
Audio | Tunda Man – Toto | Mp3 Download