Tuesday, 31 October 2017

Kinachoendelea Polisi Baada ya Zitto Kabwe Kukamatwa

Kinachoendelea Polisi Baada ya Zitto Kabwe Kukamatwa


Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe, amekamatwa na polisi na kuhojiwa akituhumiwa kufanya makosa ya Uchochezi.

Kwamba juzi, Oktoba 29, 2017 alipokuwa kwenye mkutano wa kuzindua kampeni za udiwani katika Kata ya Kijichi, Wilayani Temeke alitoa maneno yanayoweza kupelekea uvunjifu wa amani. Maneno hayo ni yafuatayo:

1. Kwamba wananchi wasiichague CCM kwa sababu Serikali yake imeshindwa kufanya uchunguzi na kuwakamata watu waliompiga risasi Mbunge Tundu Lissu mpaka siku hiyo.
 
2. Kwamba wananchi wasiichague CCM kwa sababu Serikali yake imeshindwa kueleza chanzo cha miili ya watu wanaookotwa kwenye fukwe za bahari kama Coco Beach. Hivyo kuichagua CCM ni sawa na kuwaunga mkono waliofanya vitendo vya kumshambulia Tundu Lissu na wanaoua watu wanaookotwa kwenye fukwe.
 
Timu ya mawakili wa chama iko na ndugu Zitto katika mahojiano haya.
 
Ado Shaibu - Katibu wa Itikadi, Mwasiliano ya Umma na Uenezi
ACT Wazalendo
Oktoba 31, 2017
Dar es salaam

Audio | Casper Nyovest – Baby Girl | Mp3 Download

Audio | Casper Nyovest – Baby Girl | Mp3 Download


Casper Nyovest - Baby Girl

Audio | Casper Nyovest – Baby Girl | Mp3 Download

                                          
           https://my.notjustok.com/track/download/id/286738/by/70nYJaAfNN

Diamond platnumz Atoa Chozi baada ya kufanya video na msanii mkubwa mare...


Video | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Official Audio


Makosa Mawili anayotuhumiwa kutenda Zitto Kabwe

Makosa Mawili anayotuhumiwa kutenda Zitto Kabwe


Upadates Kutoka Kituo cha Polisi Chang'ombe, mkoa wa kipolisi Temeke, Dar es salaam anakoshikiliwa Zitto Kabwe

Kwamujibu wa taarifa kutoka kwenye kamati a sheria na katiba ya chama hicho, imeeleza kuwa Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe, amekamatwa na polisi na kuhojiwa akituhumiwa kufanya makosa ya Uchochezi.

Kwamba juzi, Oktoba 29, 2017 alipokuwa kwenye mkutano wa kuzindua kampeni za udiwani katika Kata ya Kijichi, Wilayani Temeke alitoa maneno yanayoweza kupelekea uvunjifu wa amani. Maneno hayo ni yafuatayo:

1. Kwamba wananchi wasiichague CCM kwa sababu Serikali yake imeshindwa kufanya uchunguzi na kuwakamata watu waliompiga risasi Mbunge Tundu Lissu mpaka siku hiyo.

2. Kwamba wananchi wasiichague CCM kwa sababu Serikali yake imeshindwa kueleza chanzo cha miili ya watu wanaookotwa kwenye fukwe za bahari kama Coco Beach. Hivyo kuichagua CCM ni sawa na kuwaunga mkono waliofanya vitendo vya kumshambulia Tundu Lissu na wanaoua watu wanaookotwa kwenye fukwe.

Kamati ya Sheria na Katiba
ACT Wazalendo
Oktoba 31, 2017
Dar es salaam

Video | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp4 Download

Video | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp4 Download

Jah Prayzah - Chengetedza

Video | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp4 Download

                                         

                          https://cloudup.com/files/ikD_WpapwMj/download

Audio | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp3 Download

Audio | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp3 Download


Audio | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp3 Download

                                     
https://my.notjustok.com/track/download/id/286143/by/W2VRoTf6nv

Audio | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Mp3 Download

Audio | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Mp3 Download

Aslay Ft. Nandy - Mahabuba

Audio | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Mp3 Download



https://my.notjustok.com/track/download/id/286288/by/egc9RXfSZ0

Audio | King Kaka – Bonga | Mp3 Download

Audio | King Kaka – Bonga | Mp3 Download


King Kaka - Bonga
Audio | King Kaka – Bonga | Mp3 Download


https://my.notjustok.com/track/download/id/286474/by/dGTmtxf2Qo

Audio | Chris Roby (GoldenBoY) – Me And You | Mp3 Download

Audio | Chris Roby (GoldenBoY) – Me And You | Mp3 Download



Chris Roby (GoldenBoY) - Me And You

Audio | Chris Roby (GoldenBoY) – Me And You | Mp3 Download


https://my.notjustok.com/track/download/id/286476/by/v4EWDsbjrW

Audio | Foby Ft Mr Blue – Naomba | Mp3 Download

Audio | Foby Ft Mr Blue – Naomba | Mp3 Download

Foby Ft Mr Blue - Naomba

Audio | Foby Ft Mr Blue – Naomba | Mp3 Download


https://my.notjustok.com/track/download/id/286492/by/lR05che9OO

MAGAZETI YA LEO 31/10/2017

MAGAZETI YA LEO 31/10/2017



Ndugai: Sina taarifa ya kujiuzulu kwa Nyarandu


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amesema kwamba hana taarifa za kujiuzulu kwa mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu , na wala hiyo barua bado haijamfikia, na kuita kitendo alichokifanya ni umbea.

Job Ndugai ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, na kusema kwamba Lazaro hakupaswa kutangaza hivyo kabla ya kuhakikisha barua imemfikia.

Pamoja na hayo Spika Ndugai amewataka wabunge wengine kuacha kuwashwa washwa na kufanya mambo ambayo ameyaita ni ya umbea.