Monday, 27 November 2017

Mmasai aliepata hasara ya MILIONI 700, Familia 19 zinalala nje

Mmasai aliepata hasara ya MILIONI 700, Familia 19 zinalala nje



Audio | Nikki Mbishi – Kuna Nini (Ndani Ya Ile Nyumba) | Mp3 Download

Audio | Nikki Mbishi – Kuna Nini (Ndani Ya Ile Nyumba) | Mp3 Download


Nikki Mbishi - Kuna Nini (Ndani Ya Ile Nyumba)

Audio | Nikki Mbishi – Kuna Nini (Ndani Ya Ile Nyumba) | Mp3 Download


                                                  DOWNLOAD HERE

Audio | Nikki Mbishi – PUNCH LINE | Mp3 Download

Audio | Nikki Mbishi – PUNCH LINE | Mp3 Download

Nikki Mbishi - PUNCH LINE

Audio | Nikki Mbishi – PUNCH LINE | Mp3 Download



                             DOWNLOAD HERE

Video | Fabreezy – Sina Team | Mp3 Download

Video | Fabreezy – Sina Team | Mp3 Download


Fabreezy - Sina Team

Video | Fabreezy – Sina Team | Mp3 Download



                                             DOWNLOAD HERE

Audio | Fabreezy – Sina Team | Mp3 Download

Audio | Fabreezy – Sina Team | Mp3 Download

Fabreezy - Sina Team

Audio | Fabreezy – Sina Team | Mp3 Download


                                                DOWNLOAD HERE

Audio | Dully Sykes – Bombardier(Instrumental) | Mp3 Download

Audio | Dully Sykes – Bombardier(Instrumental) | Mp3 Download

Dully Sykes – Bombardier(Instrumental)

Audio | Dully Sykes – Bombardier(Instrumental) | Mp3 Download


                                              DOWNLOAD HERE

Video | Walter Chilambo – Kuna Jambo | Mp4 Download

Video | Walter Chilambo – Kuna Jambo | Mp4 Download

Walter Chilambo - Kuna Jambo

Video | Walter Chilambo – Kuna Jambo | Mp4 Download




                                                 DOWNLOAD HERE

Video | Saida Karoli – Omulilo | Mp4 Download

Video | Saida Karoli – Omulilo | Mp4 Download


Saida Karoli - Omulilo

Video | Saida Karoli – Omulilo | Mp4 Download






                                                       DOWNLOAD

Gospel Audio Walter Chilambo – Kuna Jambo.| Mp3 Download

Gospel Audio Walter Chilambo – Kuna Jambo.| Mp3 Download


Gospel Audio Walter Chilambo – Kuna Jambo.| Mp3 Download


                                                 DOWNLOAD HERE

Audio | AT. – Homa.| Mp3 Download

Audio | AT. – Homa.| Mp3 Download


Audio | AT. – Homa.| Mp3 Download



                                                      DOWNLOAD HERE

Sunday, 26 November 2017

Rais Magufuli aishukuru Serikali ya watu wa China kwa msaada wao




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ameishukuru serikali ya watu wa China kwa msaada wao walioutoa kwa wananchi wa Tanzania wa kuwapatia matibabu bure, akisema jambo hilo ni upedo usio elezeka.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo alipoenda kutembelea meli yenye madaktari bingwa kutoka China ambayo imetia nanga kwenye bandari ya Dar es salaam, na kutoa huduma za vipimo na matibabu kwa wakazi wa Dar es salaam bila gharama yoyote.

"Tunapenda kusema shukrani kwa dhati kwa serikali ya China kuamua kuituma meli na madaktari kuja Tanzania, tunafurahi kwa huduma zao, wameokoa maisha ya watanzania zaidi ya elfu 6,400, huu ni upendo wa pekee unaogusa, ndio maana leo nimeshindwa kuvumilia nimeona bora nije nishukuru, nimeguswa mno na ndugu zetu wachina, yapo mataifa mengine matajiri, yenye mali nyingi lakini hayajaguswa", amesema Rais Magufuli.

Sambamba na hayo Rais Magufuli amewakabidhi madaktari hao barua maalum kwenda kwa raisi wa nchi yao Xi Jinping pamoja na kinyago kama zawadi kwake, kumshukuru kwa mchango wake na ukarimu wake kwa watanzania masikini.

Pia Rasi Magufuli amewatakia safari njema madaktari hao na kuwaomba kurudi tena wakati mwengine, na kuwataka kukaa kwa muda mrefu zaidi ili waweze kutoa huduma kwa watanzania wengi hata watakaotoka mikoani.


Mawakala wa vyama wazuiwa kuingia vyumba vya kupiga kura



Manyara. Mawakala wa vyama vya CCM, Chadema na ACT Wazalendo kwenye Kata ya Makiba wilayani Arumeru wamezuiwa kuingia katika vyumba vya uchaguzi kwa madai ya kukosa vibali.

Kata hiyo ina jumla ya vituo 14 na hadi hivi sasa upigaji kura unaendelea bila kuwepo kwa mawakala hao 42 wa vyama hivyo.

Mgombea udiwani wa CCM katika kata hiyo Samson Laizer amethibitisha Mwananchi Leo Jumapili kuwa mawakala wake kuzuiwa kuingia kwenye vituo vya kupiga kura.

Vilevile wakala wa Chadema wa Kituo cha Kanisani A,  Adam Woisso amesema japokuwa alikuwa na barua ya utambulisho wa chama hicho na barua ya uthibitisho ya Tume ya Taifa ya  Uchaguzi(NEC) lakini alizuiwa kuingia ndani.

Kwa upande wake wakala wa ACT Wazalendo, Said Yusuf amesema alizuiwa kuingia kwa sababu ya kukosa barua kutoka NEC.

Mgombea udiwani wa ACT Wazalendo, Ernest Maturo amesema hizo ni mbinu za kuhakikisha mgombea udiwani anayetakiwa kushinda na tume anashinda nafasi hiyo.

Familia ya Ndikumana yafanya maamuzi haya juu ya mtoto Krish Ndikumana



Familia ya marehemu Ndikumana ambaye alikuwa mume wa muigizaji wa filamu Tanzania, Irene Uwoya, imesema iko tayari kumsaidia mtoto wao aliyeachwa na marehemu Hamadi Ndikumana, Krish Ndikumana, ili kuweza kufikia ndoto yake ya kuwa mcheza soka maarufu

Akizungumza na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, mdogo wa marehemehu Hamadi Ndukaman, Laddy Ndikumana, amesema wao kama familia wako tayari kuhakikisha ndoto hiyo inatimia, kwani kipaji cha soka kipo kwa familia yao nzima.

"Tutajaribu kumsaidia kwa sababu kama familia nzima ni wanasoka, na hiyo ni kipaji ambacho yuko nacho tayari, tutamsaidia kufikia malengo yake", alisikika Laddy Ndikumana akimwambia Big Chawa.
Marehemu Ndikumana ameacha watoto wawili akiwezo Krish ambaye amezaa na muigizaji Irene Uwoya, na aliwahi kusikika akisema nataka kuwa mcheza soka maarufu kama baba yake.