Tuesday, 31 October 2017

Diamond platnumz Atoa Chozi baada ya kufanya video na msanii mkubwa mare...


Video | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Official Audio


Makosa Mawili anayotuhumiwa kutenda Zitto Kabwe

Makosa Mawili anayotuhumiwa kutenda Zitto Kabwe


Upadates Kutoka Kituo cha Polisi Chang'ombe, mkoa wa kipolisi Temeke, Dar es salaam anakoshikiliwa Zitto Kabwe

Kwamujibu wa taarifa kutoka kwenye kamati a sheria na katiba ya chama hicho, imeeleza kuwa Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe, amekamatwa na polisi na kuhojiwa akituhumiwa kufanya makosa ya Uchochezi.

Kwamba juzi, Oktoba 29, 2017 alipokuwa kwenye mkutano wa kuzindua kampeni za udiwani katika Kata ya Kijichi, Wilayani Temeke alitoa maneno yanayoweza kupelekea uvunjifu wa amani. Maneno hayo ni yafuatayo:

1. Kwamba wananchi wasiichague CCM kwa sababu Serikali yake imeshindwa kufanya uchunguzi na kuwakamata watu waliompiga risasi Mbunge Tundu Lissu mpaka siku hiyo.

2. Kwamba wananchi wasiichague CCM kwa sababu Serikali yake imeshindwa kueleza chanzo cha miili ya watu wanaookotwa kwenye fukwe za bahari kama Coco Beach. Hivyo kuichagua CCM ni sawa na kuwaunga mkono waliofanya vitendo vya kumshambulia Tundu Lissu na wanaoua watu wanaookotwa kwenye fukwe.

Kamati ya Sheria na Katiba
ACT Wazalendo
Oktoba 31, 2017
Dar es salaam

Video | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp4 Download

Video | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp4 Download

Jah Prayzah - Chengetedza

Video | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp4 Download

                                         

                          https://cloudup.com/files/ikD_WpapwMj/download

Audio | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp3 Download

Audio | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp3 Download


Audio | Jah Prayzah – Chengetedza | Mp3 Download

                                     
https://my.notjustok.com/track/download/id/286143/by/W2VRoTf6nv

Audio | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Mp3 Download

Audio | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Mp3 Download

Aslay Ft. Nandy - Mahabuba

Audio | Aslay Ft. Nandy – Mahabuba | Mp3 Download



https://my.notjustok.com/track/download/id/286288/by/egc9RXfSZ0

Audio | King Kaka – Bonga | Mp3 Download

Audio | King Kaka – Bonga | Mp3 Download


King Kaka - Bonga
Audio | King Kaka – Bonga | Mp3 Download


https://my.notjustok.com/track/download/id/286474/by/dGTmtxf2Qo

Audio | Chris Roby (GoldenBoY) – Me And You | Mp3 Download

Audio | Chris Roby (GoldenBoY) – Me And You | Mp3 Download



Chris Roby (GoldenBoY) - Me And You

Audio | Chris Roby (GoldenBoY) – Me And You | Mp3 Download


https://my.notjustok.com/track/download/id/286476/by/v4EWDsbjrW

Audio | Foby Ft Mr Blue – Naomba | Mp3 Download

Audio | Foby Ft Mr Blue – Naomba | Mp3 Download

Foby Ft Mr Blue - Naomba

Audio | Foby Ft Mr Blue – Naomba | Mp3 Download


https://my.notjustok.com/track/download/id/286492/by/lR05che9OO

MAGAZETI YA LEO 31/10/2017

MAGAZETI YA LEO 31/10/2017



Ndugai: Sina taarifa ya kujiuzulu kwa Nyarandu


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amesema kwamba hana taarifa za kujiuzulu kwa mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu , na wala hiyo barua bado haijamfikia, na kuita kitendo alichokifanya ni umbea.

Job Ndugai ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, na kusema kwamba Lazaro hakupaswa kutangaza hivyo kabla ya kuhakikisha barua imemfikia.

Pamoja na hayo Spika Ndugai amewataka wabunge wengine kuacha kuwashwa washwa na kufanya mambo ambayo ameyaita ni ya umbea.

Sababu za Rais Magufuli Kutokugawa Milion 50 Alizoahidi Kwa Kila Kijiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, ameeleza sababu zinazomfanya achelewe kutimiza ahadi ya milioni 50 kwa kila kijiji alizoziajidi wakati wa kampeni za kugombea urais kuwa ni kutokana na kuwepo kwa mambo mengi nchini yanayohitaji utekelezaji wa haraka.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Mwanza katika mkutano wa hadhara ikiwa ni moja ya vitu alivyopanga kuvifanya katika ziara yake ya kikazi ya siku mbili mkoani hapo.

Ameeleza kuwa ameona ni sahihi kuanza na mambo ya muhimu zaidi kama vile miundombinu ya barabara, huduma za afya pamoja na elimu kabla ya kutoa fedha hizo ambazo aliziahidi katika iilani ya uchaguzi wa mwaka 2015.

“Halitokuwa jambo jema mimi kutoa milioni 50 kwa kila kijiji nchini wakati huduma mbalimbali kama vile elimu, afya na miundombinu ya barabara na usafirishaji haijakaa vizuri. lakini niwahakikishie kuwa hizo fedha zipo na zitakabidhiwa kwa kila kijiji kama nilivyosema,” alisema Rais Magufuli.

“Inabidi muwe watulivu wakati serikali ikishughulikia matatizo na changamoto zinazohitaji utatuzi wa haraka kabla hatujazitoa fedha hizo,” aliongeza Rais Magufuli.

Rais Magufuli alimtaka pia Mkuu wa mkoa wa mwanza kuhakikisha kuwa anachochea maendeleo ya viwanda na kupitia hivyo nchi itapata maendeleo.

“Viwanda vitatengeneza ajira nyingi kwa watanzania na vitaongeza mapato ya serikali. Mapato yakiongezeka serikali itaweza kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi,” Alisema Rais

Polisi wawili wasimamishwa kazi



Polisi wawili wa trafiki nchini Afrika Kusini wamesimamishwa kazi na wanakabiliwa na mashtaka ya kuaibisha kikosi cha polisi baada ya video yao "wakila pesa" kusambaa sana mitandao ya kijamii.

Video hiyo inawaonesha polisi hao wawili wakitumia noti za pesa kuchonokoa meno yao na pia kujipangusa, huku muziki wa sauti ya juu ukisikika kwenye gari lao.

Wawili hao wanaonekana pia wakila chakula chao cha mchana kutoka kwenye mikebe ya Styrofoam kwenye sehemu ya kubebea mizigo nyuma ya gari.

Idara ya polisi wa jiji la Ekurhuleni amesema wafanyakazi hao, ambao wamevalia sare rasmi ya polisi wakati huo, wameiaibisha idara hiyo na kwamba vitendo hivyo si vya kistaarabu.

Msemaji wa idara hiyo Wilfred Kgasago amesema wawili hao wamekabidhiwa barua za kuwasimamisha kazi mapema na kwamba watafika katika kamati ya nidhamu Jumanne.

Waziri wa polisi nchini Afrika Kusini Fikile Mbalula alipakia video hiyo kwenye Twitter mwishoni mwa wiki, na akafurahia hali kwamba wawili hao wataadhibiwa.